wema sepetu ashikishwa adabu na mke wa pedeshee
Muigizaji
 maarufu nchini Wema Sepetu avamiwa na anaesemekeana kuwa ni mke wa 
pedeshee anaetembea nae jana jioni maeneo ya kinondoni. Mwana mama huyo 
alifika katika baa yake na kumkuta wema na wasanii wenzake wa movie 
wakijaribu kuondoka, ndipo akaanzisha sakata na kuanza kuligonga gari la
 
 wema
 kwa maksudi kwa kutumia gari lake la kifahari aina ya range mara tatu 
mfululizo na kuliacha gari la wema linalosemekana ni la mwana mama huyo 
ambalo wema alihongwa na pedeshee huyo..
kesi iko oysterbay polisi kwa habari zaidi......stick na blog yako ya kijanja ya drop entt..


Comments
Post a Comment