hii ndo listi ya wasanii wenye mkwanja mrefu!!
Forbes imetangaza majina matano ya wasanii
 wa hip hop wenye mkwanja, Alieongoza 
kwenye list hiyo ya forbes ni Sean “Diddy” 
Combs akifuatiwa na Jay- Z, 50 cent, 
Bryan “ Birdman” Williams na Dr Dre. 
Diddy aliongoza kwa kuwa na dola milioni mia 
tano na hamsini ($550)..Vitega uchumi vya
 Diddy ana kinywaji ya Ciroc Vodka, kampuni 
ya nguo za Sean John na Enyce, Record label 
yake ya Bad Boy na vitu vingine alivyovianzisha
 ukiongezea na cable channel yake ya Revolt 
itamfanya awe billionaire mwaka 2013.
Jay – Z anafuatia akiwa nafasi ya pili akiwa na 
dola milioni mia nne na sitini ($460) kutokana 
mauzo ya mavazi ya Rocawear milioni mia mbili 
na 4 ($204) mwaka 2007. Dr Dre anafuata kwa 
kuwa na dola milioni mia mbili na sabini ($270) 
kutokana kitega uchumi chake cha Beats Electronics, 
Wakati Birdman akishika nafasi ya nne (4) akiwa 
anamiliki dola milioni mia ishirini na tano ($125) 
kwa jina lake. Na 50 cent akafunga kwa kuwa 
na dola milioni mia na kumi ($110) bank. Forbes 
pia imetabiri kuwa Sean “ Diddy” Combs atakuwa
 msanii billionaire wa hip hop. 






Comments
Post a Comment