Skip to main content
Mr Blue APATA MTOTO WA KIUME.
Mr. Blue amechonga na sisi kupitia ramadhan junior na kuniambia kuwa yule mpenzi 
wake ambaye alikuwa na mimba anakwenda kwa jina la Wahida majira ya jana
 usiku kuamkia leo alijifungua mtoto wa kiume. Blue amesema mtoto huyo 
ameamua kumpatia jina la SAMEER
 
 
 
 
 
 
  
 
 
 
 
Comments
Post a Comment